
Kupitia uberXL unapata usafiri wenye nafasi ya kubeba watu wengi
Bila shaka haifai sana unapolazimika kuita magari mengi kwa sababu uko na wasafiri wengi au una safari ya uwanja wa ndege na mizigo mingi na gari lenyewe ni dogo. Tumezindua huduma ya uberXL, itakayokuwa suluhisho la kero hii.
Ukitumia huduma ya uberXL, unaweza kuita gari ambalo linaweza kubeba wasafiri 7 ndani ya gari moja. Angalia nauli inayotozwa:
- Nauli Msingi: TZS 2,000
- Kwa kila Kilometa: TZS 800
- Kwa kila Dakika: TZS120
- Nauli ya Chini: TZS 5,000
Hakuna haja ya kuita magari mengi kwa sababu wasafiri ni wengi au kupata usumbufu wa safari ya uwanja wa ndege kwa sababu una mizigo mingi. Huduma ya uberXL inaleta mwafaka kwenye matatizo haya!
Posted by Uber Editor
Category:
Get a trip when you need one
Start earning in your city
Get a trip when you need one
Start earning in your city
Related articles
Most popular
Safari, Ofa11 Oktoba 2023 / Tanzania
Shinda Vocha za KFC na PizzaHut ukitumia App ya Uber
Ofa6 Aprili 2023 / Tanzania
Pata 10% ya nauli yako ukilipia safari za Uber kwa TigoPesa!

Safari, Hadithi20 Februari 2023 / Tanzania
Heshima ni kwa pande zote mbili

Safari, Ofa9 Februari 2023 / Tanzania